Wednesday, 6 May 2015

ZARI, DIAMOND WAFUNGA NDOA KIMYA KIMYA, DIAMOND ATOA SABABU ZA KUFANYA HIVYO!

     HUKU wakidaiwa kuogelea kwenye utajiri wa mabilioni ya fedha, nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibukia kwenye Gaz... thumbnail 1 summary
  
 
HUKU wakidaiwa kuogelea kwenye utajiri wa mabilioni ya fedha, nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibukia kwenye Gazeti la Amani na kusema kuwa, amefunga ndoa ya kimyakimya na mpenzi wake wa sasa, Zarina Hassan ‘Zari’ ambaye ni nyota wa muziki wa kizazi kipya, nchini Uganda na Afrika Kusini.
Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mpenzi wake Zarina Hassan ‘Zari. Diamond aliyasema hayo juzi jijini Dar es Salaam alipofanya mahojiano na waandishi wetu baada ya kumuuliza kama ana mpango wa kufunga ndoa na Zari
SOURCE; the choice, may 7 2015

No comments

Post a Comment